Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi
(Mpanda Hospitali)

MKURUGENZI MKAZI WA SHIRIKA LA WRAIR-DoD TANZANIA Dr. LAURA CHITTENDEN AITEMBELEA KATAVI RRH

Posted on: July 17th, 2025

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la WRAIR-DoD nchini Tanzania Dr. Laura Chittenden, 

akiwa na timu ya wataalamu kutoka Shirika la HJFMRI Tanzania na Timu ya Afya

Mkoa wa Katavi wametembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi

na kuangalia Huduma za Maabara na zile za Tiba na Matunzo (CTC) zinavyofanya kazi.


Kwa upande mwingine Dr. Chittenden alipata fursa ya kushuhudia mafanikio

ya utekelezaji wa shughuli zinazofadhiliwa na Shirika la WRAIR-DoD na kutekelezwa na HJFMRI.