KATAVI RRH YAPIGWA MSASA KUTOKOMEZA 'UVIDA'
Posted on: June 8th, 2025
Leo Juni 9, 2025 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na shirika la PATH wamefanya
tathimini ya Hospitali Ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi kuhusu uwezo iliyonao
wa kapambana na usugu wa vimelea dhidi ya dawa (UVIDA) aina ya antibioki.
Tathimini hiyo inatia hamasa kwa Maabara ya Katavi RRH kufuatilia UVIDA
na matumizi sahihi ya dawa aina ya antibiotiki.