Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi
(Mpanda Hospitali)

KAMBI YA MATIBABU YA FISTULA NA MSAMBA

Posted on: August 18th, 2025

Kambi ya Matibabu ya Fistula na Msamba imeanza  Agosti 14, 2025 katika Hospitali

ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi na inatarajiwa kumahitimishwa Agosti 22, 2025.

Kambi hiyo inayoratibiwa na Chama cha Madaktari wa Upasuaji wa Fistula Tanzania (AOFST),

Fistula Foundation na kushirikiana na Wizara ya Afya inatoa matibabu bure.