Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi
(Mpanda Hospitali)

BIMA

Posted on: April 26th, 2024

Serikali ya Tanzania inahimiza uboreshwaji wa utoaji  huduma za afya, bima ina jukumu muhimu katika katika hospitali  kuwezesha wagonjwa kufikia huduma za matibabu.

Hospitali ya Rufaa  Mkoa wa Katavi imeshirikiana na  watoa huduma za afya ya bima  kwa kutoa huduma za matibabu kwa wanachama wao. 

Hospitali ya Rufaa  Mkoa wa Katavi  inapokea kadi kutoka   mashirika yanayotoa bima ya Afya yafuatayo:

  • AAR Insurance
  • NHIF
  • iCHF

Tuna dawati maalum kwa wateja wa Bima  kulingana na mfumo wa pekee wa bili kwa gharama  ya moja kwa moja kwa bima husika.