Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi
(Mpanda Hospitali)

TANGAZO KWA WATEJA KLINIC MAALUM

Ofisi ya Mganga mfawidhi Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi imewatangazia Wateja wote wenye kliniki maalum kuwa Hkutakuwa na huduma hio kwa kipindi cha wiki mbili kutokana na Daktari bingwa amesafiri kwa dharura maalumu

Imetolewa na Katibu wa Hospitali

Mkoa wa Katavi

- 25 September 2019